![]() |
Mugiraneza Jean Baptiste akishangilia baada ya kufunga penalti ya ushindi ya APR |
Katika penalti za mwisho, Nahodha Ndayisenga Fuad alikosa mkwaju wa Rayon kabla ya Mugiraneza Jean Baptiste kuifungia penalti ya ushindi APR na kuipeleka Nusu Fainali ya michuano ya mwaka huu.
![]() |
Beki wa APR, Rubwiro Herve akiupitia mpira miguu mwa winga wa Rayon, Gueli Koffi leo Nyamirambo |

Wachezaji wa Polisi kulia na wa Atletico kushoto wakigombea mpira wa juu. Dakika 90 ziliisha 0-0.
CREDIT: BIN ZUBERY
0 comments:
Post a Comment