BASATA: ZIMEBAKIA SIKU 6 KUBAINI UKWELI KUHUSU MISS TANZANIA 2014




10728807_853968181291297_1740585443_n
Baraza  la  Sanaa la Taifa ‘BASATA’   limeanza  kupeleleza  tetesi zinazoendelea  kuhusiana  na  Miss Tanzania 2014, Sitti  Mtemvu  kwa  kudanganya  umri  wake.
Naibu Waziri  wa  Wizara ya  Habari, Vijana  na  utamaduni  Juma  Mkamia  alifunguka na kusema  kuwa  Bazara  limetoa   siku  7  tu  ilikubaini  ukweli  kuhusiana   na  Miss  Tanzania 2014  kwa  kudanganya  umri  wake  na ikibainika  kama  nikweli alidanganya  umri wake  hatua  kali zitachukuliwa.

0 comments:

Post a Comment