UEFA CHAMPIONS LEAGUE: MADRID YAIKALISHA LIVERPOOL, ARSENAL WAFUFUKA DAKIKA ZA MAJERUHI: CHECK MATOKEO YOTE NA PICHA HAPA.




Liverpool hapo jana imepata kipigo cha nyumbani kutoka kwa wakali Real Madrid, magoli ya Madrid ya lifungwa na Ronaldo pamoja na Khareem Benzema aliyefunga mawili.

Ronaldo ndiye aliyetangulia kuifungia Madrid dakika ya 23 kwa shuti kali nadakika 7 baadaye Benzema akaiandikia Liverpool goli la pili kabla yakuongeza la 3 mnamo dakika ya 41.
Katika mechi nyingine Arsenal wamepata ushindi adimu katika dakika za majeruhi baada ya kuongozwa kwa goli moja na Anderlecht ahsante kwa magoli  ya Gibbs dak.ya 89 na Lukas Podolski dak. 90+, goli la Anderlecht lilfungwa dakika ya 71 na Najar.Borusia Dotmund pia waliwatungua wenyeji wao Galatasalay bao 4-0.
MATOKEO KWA UJUMLA NI KAMA IFUATAVYO:





Marco Reus akishangilia goli la tatu,| Galatasaray 0 Borussia Dortmund 4 | Champions League
Anfield Banner Champions League 22102014
Koke akifunga goli la kwanza la Atletico katika ushindi wa |magoli 5-0 Champions League    

0 comments:

Post a Comment