Zlatan Ibrahimovic alifunga mabao mawili wakati PSG ikiilipua Bayer Leverkusen kwa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwao Ujerumani.
Mabao mengine ya PSG yamefungwa na na Blaise Matuidi na Yohan Cabaye aliyejiunga na timu hiyo akitokea Newcastle, msimu huu.
Mabao mengine ya PSG yamefungwa na na Blaise Matuidi na Yohan Cabaye aliyejiunga na timu hiyo akitokea Newcastle, msimu huu.
0 comments:
Post a Comment