Floyd Mayweather amendeleza ubabe wake katika ndondi baada ya kumchapa kwa pointi Marcos Maidana
wa Argentina huku akidhiirisha umahiri wake katika mbinu za mchezo huo
na kufikisha rekodi ya kucheza mapambano 47 bila kupoteza wala kutoa
sare pambano hata moja, akizua maswali mengi kama yeye ndiye bondia
mashuhuri katika historia? je hatapoteza pambano hata moja katika
kipindi chake?
Maidana mbaye leo alionekana kutumia nguvu nyingi zilizompelekea kucheza rafu iliyomfanya apokwe pointi.
Mayweathether alilazimika kutumia uzoefu wake na mbinu nyingi kuzuia makonde ya haraka kutoka kwa Maidana.
Mwisho wa mchezo majaji wote walitoa ushindi kwa Mayweather kwa pointi:115-112,1116-111,116-111.
Alipoulizwa
anakionaje kiwango chake baada ya mchezo Mayweather amesema kwa leo
amecheza kwa wastani na anaona alistahili kucheza vizuri zaidi ya
alivyocheza, akiongeza kuwa ameruhusu mashambulizi mengi ambayo angeweza
kuyazuia.
KUCHEZA NA MANNY PACQUIAO?
alipoulizw kama hatimaye mashabiki wake watarajie pambano lake na Manny
Pacquiao hapo mei mwaka 2015, Mayweather alijibu "kama pambano
limejitokeza lenyewe basi acha tulifanye".
Floyd Mayweather akimtupia konde Marcos Maidana
Floyd Mayweather akifikisha mono kwenye kichwa cha Maidana
Floyd Mayweather akimchapa Marcos Maidana
Will Smith akifurahia pambano hilo ukumbi wa MGM Grand
Marcos Maidana alilazimika kucheza faulo kumdhibiti Mayweather 
Floyd Mayweather akienda chini baada ya kusukumwa na Marcos Maidana
Marcos Maidana akikatwa na pointi na Kenny Bayless kwa kucheza rafu
Floyd Mayweather akimtupia konde Marcos Maidana
Floyd Mayweather akifikisha mono kwenye kichwa cha Maidana
Floyd Mayweather akimchapa Marcos Maidana
Will Smith akifurahia pambano hilo ukumbi wa MGM Grand
Marcos Maidana alilazimika kucheza faulo kumdhibiti Mayweather 
Floyd Mayweather akienda chini baada ya kusukumwa na Marcos Maidana
Marcos Maidana akikatwa na pointi na Kenny Bayless kwa kucheza rafu
0 comments:
Post a Comment