NIGERIA 3-1 SUDAN: SAMUEL NA MUSA WAIOKOA SUPER EAGLES.

Nigeria 3-1 Sudan: Musa and Samuel save Super Eagles 
Watoto wa Stephen Keshi wameongeza matumaini yao ya kufuzu fainali za mataifa ya Afrika 2015 baada ya leo kuwafunga Sudan bao 3-1,magoli ya Ahmed Musa na Aaron Samuel katika kipindi cha pili yamewaokoa  mabingwa hao wa Afrika

Mshambuliaji wa kimataifa wa CSKA Moscow ya Urusi Musa ndiye aliyeifungia Nigeria bao la kuongoza katika dakika ya tatu kabla ya Sudan kurudisha goli hilo dakika ya 10 kupitia kwa Sala Al jizoli.

Nigeria hawakukata tamaa na Aaron Samuel aliongeza goli la pili kabla Musa hajamalizia kazi katika dakika ya 89.
Hata hivyo Nigeria bado ilihitaji ushindi ilikujikwamua kutoka mkiani mwa kundi hilo na kufika nafasi ya tatu juu ya Sudan, ili kufufua matumaini ya kuchez fainali hizo zitakazofanyika huko Morocco 2015.

0 comments:

Post a Comment